RESEARCH AD

RESEARCH AD

CLEARING AND FORWADING

CLEARING AND FORWADING

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

THE GUARDIAN LTD

Monday, October 21, 2013



WAHITIMU WA KIDATO CHA SITA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO MAALUM YA UALIMU (BRIDGING COURSE) MWAKA 2013/2014


MAELEKEZO MUHIMU
Wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na Mafunzo haya wanatakiwa kuripoti Chuo cha Ualimu Morogoro kuanzia tarehe 18/10/2013 hadi 20/10/2013.

Wanafunzi wanatakiwa kufika chuoni wakiwa na mahitaji yafuatayo:
  1. Vyeti halisi vya Baraza la Mitihani la Tanzania vya Kidato cha NNE na SITA;
  2. Ada ya muhula wa kwanza sh. 100,000/= ;
  3. Sare ya Chuo (Suruali/sketi: koti na tai nyeusi; shati ya mikono mirefu ya rangi ya bluu bahari); na
  4. Fedha za tahadhari chuoni na matumizi binafsi.
Usajili wa waliochaguliwa kujiunga na Mafunzo utafungwa terehe 20/10/2013 saa 12.00 jioni.


icon WAHITIMU WA KIDATO CHA SITA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO MAALUM YA UALIMU (2013/2014) (109.92

No comments: