RESEARCH AD

RESEARCH AD

CLEARING AND FORWADING

CLEARING AND FORWADING

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

THE GUARDIAN LTD

Thursday, August 23, 2012

TANGAZO MUHIMU KUTOKA TUME YA VYUO VIKUU NCHINI(TCU)

TCU imetoa nafasi ya awamu ya pili ya maombi kwa wanafunzi ambao walishindwa kutuma maombi yao au ambao hawakuchaguliwa katika awamu ya kwanza iliyotolewa


The second round for the admission into Central Admission System is officially opened from 13th August, 2012 to 25th August,2012.Those who did not apply or could not be admitted during first round are advised to make application by clicking the button labeled "Application 2nd round".

For more details please visit www.tcu.go.tz


Source: www.tcu.go.tz  
CHUO KIKUU CHA TIBA NA TECHNOLOJIA-IMTU CHATANGAZA NAFASI ZA MAOMBI YA MASOMO KWA MWAKA 2012/13

Applications are hereby invited from qualified candidates for Undergraduate and Postgraduate degree Programmes, Diploma and Certificate of Health Sciences (previously called Premedical Certificate Course), for the academic year 2012/2013 which begins on October 1, 2012. 

ALL “A” LEVEL APPLICANTS WITH DIRECT ENTRY QUALIFICATIONS SHOULD APPLY THROUGH THE TANZANIA COMMISSION FOR UNIVERSITIES (TCU), USING THE CENTRALIZED ADMISSION SYSTEM (CAS) WHICH CAN BE DOWNLOADED FROM THEIR WEBSITE http://www.tcu.go.tz. HOWEVER, ALL APPLICANTS WITH EQUIVALENT ENTRY QUALIFICATIONS, AND THOSE APPLYING FOR POSTGRADUATE DEGREE PROGRAMMES AND NON-DEGREE COURSES SHOULD APPLY DIRECTLY TO THE UNIVERSITY.
Source: www.imtu.ac.tz
CHUO KIKUU CHA ARTHI (ARTHI UNIVERSITY) CHATOA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA HAPO KATIKA FANI NA NGAZI MBALIMBALI KWA MWAKA 2012/13


CLICK THE BELOW LINKS TO VIEW THE NAMES

1. Selected Undergraduate Students for Academic Year 2012/13

2. Postgraduate Selected Students for Academic Year 2012/13

Source: www.aru.ac.tz
KUITWA KWENYE USAILI


Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Mkuu wa Chuo,Chuo Kikuu Kishiriki cha Ushirika na Biashara Moshi (MUCCoBS), anatarajia kuendesha usaili na hatimaye kuwapangia vituo vya kazi, waombaji watakaofaulu usaili.

BOFYA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI

Source: www.muccobs.ac.tz
Prof R. MUKANDARA:WANAFUNZI WENGI WA KITANZANIA HUKIMBIA SOMO LA HESABU WAFIKAPO VYUO VYA ELIMU YA JUU

Makamu mkuu wa chuo kikuu cha Dar es salaam Prof Rwakaza Mukandara
Tanzania ina wanafunzi wengi wenye uwezo mkubwa katika somo la Hisabati wawapo katinga ngazi ya shule za msingi na sekondari lakini hupotea kabisa pindi wafikapo katika masomo ya elimu ya juu.Makamu mkuu wa chuo kikuu cha Dar es salaam Prof Rwekaza Mukandara alieleza kuwa wanafunzi wengi wafikapo elimu ya juu huachana na fani za hesabu na sayansi na kuchagua fani za sanaa na biashara ili watakapohitimu wapate soko la ajira lenye faida."Wengi wamekuwa wakiamini kuwa hesabu haiwezi kuwahakikishia ajira wanapomaliza chuo kwahiyo hubadili pindi wajiungapo na masomo ya elimu ya juu" alisema Profesa Mukandara katika mkutano wa Africa Mashariki juu ya Programu ya Hesabu (East Africa Universities Mathematics Programme (EAUMP) Conference) uliofanyika katika Taasisi ya Sayansi na Technolojia ya Nelson Mandela.