RESEARCH AD

RESEARCH AD

CLEARING AND FORWADING

CLEARING AND FORWADING

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

THE GUARDIAN LTD

Saturday, August 25, 2012

HABARI MUHIMU KUTOKA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM


1. MABADILIKO YA RATIBA/KALENDA YA MWAKA/CHANGES IN THE ALMANAC
Tume ya vyou vikuu nchini TCU imetoa maelekezo kwa taasisi zote za elimu ya juu kutofungua chuo chochote kabla ya tarehe 01 Oktoba 2012
Kusoma maelezo zaidi BOFYA HAPA / CLICK HERE to read full information 



2. UNIVERSITY OF DAR-ES-SALAAM
Press Release

TANGAZO Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kinatawangazia wale wote walioomba kujiunga na Chuo hicho kusomea shahada za awali kwa mwaka wa masomo 2012/2013 kuwa majina ya wale waliochaguliwa yapo kwenye tovuti www.udsm.ac.tz. Wanafunzi waliochaguliwa watatakiwa kuwasili chuoni tarehe 1 Oktoba 2012.
 Imetolewa na Prof. Makenya A.H. Maboko Naibu Makamu Mkuu wa Chuo - Taaluma 




3. TANGAZO LA GRADUATION KWA WALIOHITIMU CHUO KIKUU CHA DARE ES SALAAM

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM
MAIN CAMPUS
THE 2012 GRADUATION CEREMONIES



Source: www.udsm.ac.tz

No comments: