Ili kutekeleza Waraka wa Elimu namba 3 wa mwaka 2013, Wizara imeainisha mada zitakazofundishwa na kutahiniwa mwaka wa kwanza wa masomo kwa wanachuo wa mafunzo ya ualimu ngazi ya cheti na stashahada. Kila mkuu wa Chuo, Wakufunzi pamoja na Wanachuo wote wa mwaka wa kwanza wa kila Chuo wanaelekezwa kuzingatia maelekezo hayo ili kufanikisha utekelezaji wa Waraka husika.
RESEARCH AD
CLEARING AND FORWADING
TUKO WANGAPI
Monday, October 21, 2013
Ili kutekeleza Waraka wa Elimu namba 3 wa mwaka 2013, Wizara imeainisha mada zitakazofundishwa na kutahiniwa mwaka wa kwanza wa masomo kwa wanachuo wa mafunzo ya ualimu ngazi ya cheti na stashahada. Kila mkuu wa Chuo, Wakufunzi pamoja na Wanachuo wote wa mwaka wa kwanza wa kila Chuo wanaelekezwa kuzingatia maelekezo hayo ili kufanikisha utekelezaji wa Waraka husika.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment