RESEARCH AD

RESEARCH AD

CLEARING AND FORWADING

CLEARING AND FORWADING

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

THE GUARDIAN LTD

Friday, August 17, 2012

HABARI MUHIMU KUTOKA TCU:
TUME YA VYUO VIKUU TZ (TCU) YATOA MAJINA YA WANAFUNZI AMBAO HAWAKUCHAGULIWA KATIKA AWAMU YA KWANZA



APPLICANTS WHO WERE NOT SELECTED IN THE 2012-2013 ADMISSIONS


 Applicants into the first round of applications for 2012-2013 admissions who were not selected due to various reasons are required to re-apply in the second round of applications.

PLEASE NOTE:
Applicants who are supposed to re-apply are not required to pay another application fee instead they will only be required to choose another program by logging into their accounts.

Please click here to view the list...


PROGRAMMES WITH AVAILABLE SLOTS FOR SECOND ROUND OF APPLICATION INTO 2012/2013 ADMISSIONS


 Please click here to view the available slots...

Source:www.tcu.ac.tz


CHUO KIKUU CHA ST. JOHN CHATOA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHAHADA YA PILI (MASTERS PROGRAM) MWAKA 2012/13

To view the names of selected candidates click the link below

Selected Candidates to join Masters Program 2012/2013


Source: www.sjut.ac.tz

Thursday, August 16, 2012

TAARIFA MUHIMU KUTOKA CHUO CHA ADEM-BAGAMOYO

TANGAZO : Mtendaji Mkuu(ADEM) anawaarifu wanafunzi wote wa mwaka wa Kwanza na wa Pili(DEMA) kuwa,tarehe ya kuanza Muhula wa Kwanza wa masomo 2012/2013 imesogezwa kutoka tarehe 5/8/2012 hadi tarehe 2/9/2012

SELECTED STUDENTS TO JOIN DIPLOMA IN EDUCATION MANAGEMENT AND ADMINISTRATION(DEMA) FOR THE ACADEMIC YEAR
2012-2013


Source: http://www.ademtz.com


Wednesday, August 15, 2012

BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU(HESLB) YATOA TANGAZO RASMI JUU YA WENYE MATATIZO KWENYE FOMU ZAO ZA MAOMBI YA MKOPO

NOTICE TO 2012/13 LOAN APPLICANTS
During the exercise of processing 2012/13 loan application forms the Board has identified loan applications which are missing some vital information. Therefore the Board would like to inform these students that such incomplete applications will not be considered. 

Loan applicants from this group shall be required to come to the Board to collect their incomplete forms, go, update and return them to the Board. No loan shall be allocated to such student before returning the updated application form. Applicants who have not signed their documents are required to report to HESLB offices at Tirdo Complex, Kimweri Road, Msasani- Dar es Salaam for further details.

Applicants who have not attached (to their application forms) guarantor’s particulars such as photocopy of Passport or voter’s registration card or passport size photograph should send the missing particulars to the Board with a covering letter indicating their full names and form four index numbers through the following address:

The Executive Director
Higher Education Students’ Loans Board
P. O. Box 76068
DAR ES SALAAM.
N:B:
The Board is providing a period of two weeks starting 15th August, 2012 to correct the shortcomings.
All documents must be certified by a Commissioner of Oaths.

Tuesday, August 14, 2012

TAARIFA KUTOKA TUME YA VYUO VIKUU NCHINI (TCU

1.TCU YATANGAZA NAFASI ZA MAOMBI KWA AWAMU YA PILI(SECOND SELECTION)

Announcement to the prospective applicants on the second round of application.
Tanzania Commission for Universities (TCU) informs all prospective applicants that, applications for admission into higher learning institutions for the second round of application, will start on 13th August 2012. The second round of application will involve:

a)New applicants (Form 6, Teachers, FTC, NTA Level 6 and applicants with foreign certificates) who did not have the opportunity to apply during the first round of application; or
b)Applicants who were not selected during the first round of application due to various reasons and whose names will be published on the TCU website or have been notified through their individual accounts of this fact.

NOTE:
i) Applicants who applied but for some reasons they were not selected, are not required to pay another application fee instead they will only be required to choose another program by logging into their accounts.
ii)The list of applicants who were not selected and hence are required to re-apply will be on TCU website on Tuesday 14th August 2012.
How to apply

Applicants will apply through the Central Admissions System and applications will be treated on the first-come first-served basis this means the applicant is required to choose only one program he/she qualifies basing on program requirements given in the ‘Students Guidebook’ available on TCU website. Each programme is tied to an institution and that means the process involves one programme at a particular institution only.
Application fee for new applicants
·       Tanzanians will be required to pay an application a non-refundable fee of TSHS.30,000/- payable through NBC branches country wide,
·       Non-Tanzanians will be required to pay US$60 through CAS Account at any NBC bank countrywide (TCU-CAS Acc. No.074139000021), and
·       Non-Tanzanians residing outside Tanzania will be required to pay US$60 through CAS account number (TCU-CAS Acc.No.074139000021). The swift code: NLCBTZTX.
Deadline for application 
The deadline for applications for all categories will be on 25rd August 2012.

Issued by:
Executive Secretary
TCU

12th August 2012


2.TCU YATOA MAJINA YA WANAFUNZI AMBAO TAARIFA ZAO ZA MAOMBI YA CHUO HAZIJAJITOSHELEZA

APPLICANTS WITH MISSING INFORMATION INTO THE 2012/2013 ADMISSIONS THROUGH CENTRAL ADMISSION SYSTEM 
The following applicants should LOGIN to their profiles and add the missing information.
Example: 1. O level Index number and year of completion; 2. A level Index number and year of completion; 3. Contact information e.g. Mobile phone number, email address and postal address; 4. Programme selected

Please click here to view the list....

THE DEADLINE IS 12th AUGUST 2012

FOR THOSE WHO CAN NOT ACCESS THEIR ACCOUNTS PLEASE CONTACT TCU


Source: www.tcu.go.tz
UCHAMBUZI WA BAJETI YA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI 2012/2013


1. MIKOPO YA ELIMU YA JUU
Idadi ya wanafunzi waliopata mikopo kupitia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu imeongezeka kutoka wanafunzi 91,568 mwaka 2010/11 hadi wanafunzi 93,176, mwaka 2011/12.

2. ONGEZEKO LA VYUO VIKUU NCHINI
Vyuo Vikuu vitatu (3) vilianzishwa ambavyo ni: Eckenford Tanga University, Jomo Kenyatta University of Agriculture na University of Bagamoyo; na Vyuo Vikuu vishiriki vitatu (3) vilianzishwa ambavyo ni: Jordan University College; St. Francis University College of Health and Allied Sciences; na St Joseph College of Engineering and Technology.

3. ONGEZEKO LA UDAHILI WA WANAFUNZI-NGAZI YA SHAHADA
Wizara ilifanikiwa kuongeza udahili wa wanafunzi katika vyuo vya Elimu ya Juu kutoka wanafunzi 139,638 (wanawake 49,959) mwaka 2010/11 hadi wanafunzi 166,484 (wanawake 60,592) mwaka 2011/12. Hili ni ongezeko la asilimia 19. Aidha, idadi ya wanafunzi madaktari wa binadamu, meno na tiba ya mifugo iliongezeka kutoka 1,750 mwaka 2010/11 hadi 1,900 mwaka 2011/12.

4. ONGEZEKO LA UDAHILI WA WANAFUNZI-NGAZI YACHETI NA STASHAHADA
Wizara ilidahili jumla ya wanachuo 37,698 katika ngazi ya Cheti na Stashahada. Hili ni ongezeko la asilimia 2.9 ukilinganisha na idadi ya wanachuo 36,648 waliodahiliwa mwaka 2010/11 ambapo, walimu 292 kati ya hawa ni wa fani ya Elimu ya Michezo.

5. MAFANIKIO YALIYOPATIKANA
(a) Udahili katika Vyuo vya Ufundi Stadi na Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi vinavyotoa elimu na mafunzo ya ufundi stadi uliongezeka kutoka 102,217 (wanawake 50,190) mwaka 2010 hadi 121,348 (wanawake 56,849) mwaka 2011, ambalo ni ongezeko la asilimia 27; Vyuo vya Elimu ya Ufundi (Technical Education and Training) vilivyosajiliwa viliongezeka kutoka 224 mwaka 2010 hadi kufikia Vyuo 260 mwaka 2012.

(b) Udahili wa wanachuo katika Vyuo vya Ualimu vya Serikali na visivyo vya Serikali uliongezeka kutoka wanachuo 36,648 (wanawake 16,597) mwaka 2010 hadi 43,258 (wanawake 18,898) mwaka 2012.

(c) Idadi ya Vyuo Vikuu iliongezeka kutoka 34 mwaka 2010 hadi 46 mwaka 2012; na udahili wa wanafunzi wa Vyuo Vikuu uliongezeka kutoka wanafunzi 139,638 (wanawake 87,778) mwaka 2010/11 hadi kufikia 166,484 (wanawake 60,592) mwaka 2011/12.

(d) Idadi ya wanafunzi waliopatiwa mikopo kwa ajili ya Elimu ya Juu iliongezeka kutoka 91,568 mwaka 2010/11 hadi kufikia 93,176 Mwaka 2011/12; Aidha, Wizara ilianza mfumo wa kupokea maombi ya mikopo kwa njia ya mtandao (Online Loan Application System – OLAS).


Source: Hotuba ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi 2012/2013
HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI MH. DKT. SHUKURU KAWAMBWA KWA MWAKA 2012/2013



Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi

HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI MH. DKT. SHUKURU KAWAMBWA(MB) 2012/2013 AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2012/2013


Source: www.moe.go.tz

Monday, August 13, 2012

BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU (HESLB) YATOA MAJINA YA WANAFUNZI WA SHAHADA YA KWANZA(UNDERGRADUATES) WENYE MATATIZO KATIKA FOMU ZAO ZA MAOMBI YA MKOPO

Under Graduate Applicants with Single Form Problems
List 1

 Source:www.heslb.go.tz

Saturday, August 11, 2012

HABARI MPYA KUTOKA CHUO KIKUU CHA IFM




























-Hostel Allocation for Certificate and Diploma Students    (2012/2013) 1st Selection and 2nd Selection
-Hostel Applications for Certificate and Diploma Advertisement and Hostel Application Form

-2nd Selection and 1st Selection for various Basic Certificate and Ordinary Diploma Courses -    2012/2013

Source: www.ifm.ac.tz 
BODI YA MIKOPO YATANGAZA MAJINA YA WANAFUNZI WA MAFUNZO YA POSTGRADUATE WENYE MATATIZO KATIKA FOMU ZAO ZA MAOMBI WALIZOJAZA AWALI




Postgraduate Applicants with Application Form Problems (2012/2013) 


Source: www.heslb.go.tz

Thursday, August 9, 2012

CHUO CHA UHASIBU ARUSHA CHATANGAZA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA CHUO HICHO KATIKA FANI MBALIMBALI KWA MWAKA WA MASOMO 2012/2013

The following candidates have been selected to join various programmes offered by the Institute of Accountancy Arusha for the 2012/2013 academic year.  The candidates are required to carefully read the admission information given below:

1.    Arrival
Candidates should report at the Institute on Monday, 1st October, 2012 for orientation week. Candidates reporting after 12th October, 2012 will not be registered.

For Masters Programmes Arusha Campus, orientation and registration will start on Monday, 24th September, 2012; and for Dar Campus, orientation and registration will start on 1st October, 2012.
Applicants who have been selected to join the certificate programmes are required to attend a 4 week bridging course which will starts on 3rd September, 2012.
2.    Classes
Classes begin on Monday, 8th October, 2012.
3.    Required Documents
All selected candidates must bring with them originals and two copies of their school leaving and academic certificates, a duly filled medical examination form, birth certificate, three identical colored passport size photographs and other documents relevant to their registration.
4.    Admission Letters

Admission Letters and Joining Instructions will be mailed through your respective addresses.  Selected candidates are required to pay relevant fees in advance before joining the Institute.  To expedite the process candidates may collect their letters from the Institute’s Admissions Office.


CERTIFICATES PROGRAMMES

BTCPLM
ORDINARY  PROGRAMMES

ODCS, ODBM, & ODPLM
POSTGRADUATE DIPLOMA PROGRAMMES

MASTERS PROGRAMES

Source: www.iaa.ac.tz

Tuesday, August 7, 2012

WIZARA YA ELIMU YATOA ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI NA STASHAHADA MWAKA WA MASOMO 2012/2013 


Waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi Mhe. Dr Shukuru Kawambwa

MAELEKEZO MUHIMU KWA MWOMBAJI
Waombaji waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya ualimu ngazi ya Stashahada katika mwaka wa masomo 2012/13 wanatakiwa kuripoti katika vyuo walivyopangiwa tarehe 12/08/2012.
Kwa wale watakaochelewa kupata barua za maelekezo (Joining instruction) kutoka vyuoni wanatakiwa waripoti vyuoni katika tarehe iliyopangwa bila kukosa.
Wanafunzi wanatakiwa kufika vyuoni wakiwa na mahitaji yafuatayo:
1.Vyeti halisi vya Baraza la Mitihani la Tanzania Kidato cha NNE na SITA kulingana na kozi husika.
2. Ada kwa mwaka ni shilingi 200,000/=. (Muhula wa kwanza shilingi 100,000/= na muhula wa pili shilingi 100,000/=).
3.Sare ya Chuo kulingana na maelekezo ya chuo husika na
4. Fedha kwa matumizi binafsi.
Aidha, kila Mkuu wa Chuo anatakiwa kuhakikisha wanafunzi wanaosajiliwa chuoni ni wale waliopo kwenye orodha hii tu na si vinginevyo


Source: www.moe.go.tz

Monday, August 6, 2012

CHUO KIKUU MZUMBE CHATANGAZA MWALIKO WA KUJIUNGA NA FANI MBALIMBALI 2012/2013






























CALL FOR APPLICATION 
  • FORMS CALL FOR APPLICATIONS FOR EXECUTIVE POSTGRADUATE PROGRAMMES FOR 2012/2013 ACADEMIC YEAR TO BE CONDUCTED IN MWANZA CITY (RE-ADVERTISED)                                                       

  • APPLICATION FORM FOR POSTGRADUATE DEGREE PROGRAMMES FOR THE ACADEMIC YEAR 2012/2013 

  • REFERENCE FORM FOR POST-GRADUATE DEGREE PROGRAMME 
 Click Here to Download the Form


Source: www.mzumbe.ac.tz

Saturday, July 28, 2012

CHUO KIKUU CHA IFM CHATANGAZA MAJINA YA AWAMU YA PILI(SECOND SELECTION) KWA WALIOOMBA FANI MBALIMBALI 



  To view the names CLICK HERE


Source: www.ifm.ac.tz

CHUO KIKUU CHA MZUMBE CHAFUNGUA MAOMBI YA KUJIUNGA MWAKA MPYA WA MASOMO 2012/2013 



STUDY PROGRAMME
 FORMS CALL FOR APPLICATION FOR ADMISSIONS INTO CERTIFICATE AND DIPLOMA PROGRAMMES FOR THE 2012/2013 ACADEMIC YEAR (RE-ADVERTIZED)


Source: www.mzumbe.ac.tz
CHUO KIKUU CHA TUMAINI CHATANGAZA FANI MPYA YA MASOMO


BACHELOR OF SCIENCE PROGRAM IN INFORMATION TECHNOLOGY (EVENING PROGRAM)
INTRODUCTION
Computing is one of the fastest growing areas of industry in the world, including developing countries.
Thus, the need for information technology (IT) work force is high everywhere. Institutions of higher education are often expected to meet that need. Several IT programs in African universities have been directly adopted from other continents (especially Europe and America) and implemented in African universities without paying attention to how well the curriculum content fits local needs. This poses the threat that the knowledge and skills that students gain in their education are not fully relevant due to the technological situation and cultural background of the country.
The degree is aimed at developing five competency areas: programming and software engineering, network administration, web development and e-business, hardware and software support, and general academic competency. Strands of ethics and law, multimedia, robotics, team working, interdisciplinary, innovation, leadership and management, sustainable planning, life-long learning, customer service, environmental responsibility, and global responsibility are woven into a number of courses in the curriculum.
ADMISSION REQUIREMENTS
The student entrance requirements are based on the following conditions and categories:
Category A: Equivalent qualifications (Diploma holders)
Applicants eligible for equivalent admission to the degree program must have either:
– A diploma in information technology with an average grade of no less than “B” or a diploma in a related field from a recognized (accredited) institution
OR
– Met entry requirements at an accredited university in the applicant’s home country (for foreign applicants) subject to approval by the IUCO Academic Board and the Tumaini University Senate.
Category B: Entrance examination qualifications
Applicants who have at least two principal passes, but have less than 4.5 total points on the ACSEE must pass the Tumaini University, Iringa University College entrance examination which consists of mathematics and physics.
Category C: Mature age entry
Applicants eligible for mature age admission to the degree program must:
– Be of 25 years of age or older in the year of application
– Have completed Form IV (or equivalent) at least five years prior to the year of application
– Have attended extra-mural classes or residential courses and submit a letter of recommendation from the tutor, or have attended a residential course at an Adult Education College and submit a letter of recommendation from the principal
– Pass the Tumaini University, Iringa University College entrance examination which consists of mathematics and physics
SOURCE : www.tumaini.ac.tz

Tuesday, July 17, 2012

Chuo kikuu cha Dar es salaam kuongoza mkutano mkubwa kuhusu Petroli na Gesi mwaka huu

 Petroleum and Gas Conference 2012
Date: 18th Oct 12 at 12:00am
to 19th Oct 12 at 12:00am
Location: Mlimani City Hall

Tanzania is endowed with diverse energy sources including biomass, natural gas, hydropower, coal, geothermal, solar and wind power, much of which is untapped. Wood-fuel accounts for up to 92% of total energy supply with about 2% from hydro-electricity and 7% from oil-derived products. Nonetheless the downstream oil industry is an important sector of the country's economy absorbing on average 55% of the country's foreign exchange earnings.
For the most up to date information, please visit the Conference Website
Source:www.udsm.ac.tz
Bodi ya mikopo yatangaza majina mapya ya wanafunzi waliokata rufaa hapo awali


HESLB Chairman Mr. George Nyatega
Names of loan appellants whose appeals have been successful for both First Year and Continuing students who logged appeals against the Means Test Grades they initially got.
Attached hereunder are names of loan appellants whose appeals have been successful for both First Year and Continuing students who logged appeals against the Means Test Grades they initially got.
However, due to budget limitation, the Board has not been able to review appeals of all those Students who were denied loans due to budget limitation or other reasons for 2011/2012 academic year.
To that effect the Board regrets to inform all those appellants whose names
DO NOT APPEAR in this list to consider themselves as UNSUCCESSFUL. 

To view the names Click Here

Source :www.heslb.go.tz