Pages

Monday, October 21, 2013



WAHITIMU WA KIDATO CHA SITA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO MAALUM YA UALIMU (BRIDGING COURSE) MWAKA 2013/2014


MAELEKEZO MUHIMU
Wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na Mafunzo haya wanatakiwa kuripoti Chuo cha Ualimu Morogoro kuanzia tarehe 18/10/2013 hadi 20/10/2013.

Wanafunzi wanatakiwa kufika chuoni wakiwa na mahitaji yafuatayo:
  1. Vyeti halisi vya Baraza la Mitihani la Tanzania vya Kidato cha NNE na SITA;
  2. Ada ya muhula wa kwanza sh. 100,000/= ;
  3. Sare ya Chuo (Suruali/sketi: koti na tai nyeusi; shati ya mikono mirefu ya rangi ya bluu bahari); na
  4. Fedha za tahadhari chuoni na matumizi binafsi.
Usajili wa waliochaguliwa kujiunga na Mafunzo utafungwa terehe 20/10/2013 saa 12.00 jioni.


icon WAHITIMU WA KIDATO CHA SITA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO MAALUM YA UALIMU (2013/2014) (109.92

No comments:

Post a Comment